
SERIKALI
imesema haitosita kuwafungulia mashtaka na kuwapeleka mahakamani
ifikapo Machi 30, mwaka huu, wazazi ama walezi wote watakaoshindwa
kupeleka watoto wao shuleni ili kupata elimu ya msingi na sekondari.
Aidha,
imepiga marufuku kwa jamii kutumia jina la ‘watoto...