Saturday, 9 January 2016

Wasiopeleka Watoto Shule Kuburuzwa k=Kortini Machi 30

SERIKALI imesema haitosita kuwafungulia mashtaka na kuwapeleka mahakamani ifikapo Machi 30, mwaka huu, wazazi ama walezi wote watakaoshindwa kupeleka watoto wao shuleni ili kupata elimu ya msingi na sekondari. Aidha, imepiga marufuku kwa jamii kutumia jina la ‘watoto...
Share:

Thursday, 7 January 2016

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumnzo Na Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa Na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba Ikulu Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam January 7,2016.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Januari,...
Share:

Mahakama Kuu Kitengo Cha Ardhi Yazuia Jumba la Mchungaji Lwakatare Kubomolewa

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.   Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga...
Share:

Bilioni 18.77 Zimetumwa Kwenye Akaunti Za Shule Za Msingi Na Sekondari Hapa Nchini Kwa Ajili ya Wanafunzi Kusoma Bure

KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure. Hayo yamesemwa na Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Philip Mipango wakati akizungumza na waandishi wa habari...
Share:

Thursday, 31 December 2015

NAWATAKIENI NYOTE HERI YA MWAKA 2016

  NAWASHUKURUNI SANA KWA SAPOTI YENU 2015 NAOMBENI MUENDELEE KUNISAPOTI 2016.NAOMBENI MNISAMEHE KAMA NILIWAKOSEA NAMI PIA NIMEWASAMEHE.AHSANTENI SANA MUNGU AWABARI...
Share:

Karibu Mwaka Mpya 2016, Mwaka wa Matumaini Mapya Kwa Watanzania

Mwaka 2016 ni mwaka wa matumaini mapya kwa Watanzania wote walioanza kukata tamaa ya maisha bora. Biashara nyingi zimefilisika kutokana na vikwazo mbalimbali. Familia nyingi zimeparaganyika kutokana na kukithiri kwa mmomonyoko wa maadili ya kitaifa na kunyauka...
Share:

Jeshi La Polisi Lawatahadharisha Wananchi Kuhusu Mkesha Wa Mwaka Mpya.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAHADHARI KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA    Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha  mwaka mpya wa  2016, wananchi hutumia muda huo kwenda  katika nyumba za ibada ama kusherekea...
Share:

AHSANTE SANA KAKA ANTONY LUVANDA

  Moja ya Mtu amabaye amechangia kwa kiwango kikubwa kupitia motivations na inspirations zake.Ahsante sana kaka ubarikiwe mc Luvanda Antony...
Share:

MC EDWIN LUVANDA ALIUFANYA USIKU WA SEKION DAVID (SEKI) NA REHEMA UFANE SANA IFAKARA MOROGORO

Muigizaji na Mtayalishashaji wa Kundi la The Original Comedy Sekion David na Rehema wakiwa katika nyuso za furaha katika kusherekea harusi yao baada ya kuuaga ukapera.Sherehe iliyofanyika jana 3 oktoba 2015 katika ukumbi wa bustan za bethelem ifakara,Morogoro  Bwana...
Share:

INNER PARTY YA HARUSI YA SEKI WA ZECOMEDY ILIFANA SANA MIRADO HALL DAR

Mapokezi ya Sekion na Rehema  Mirado hall Sinza   Inner party ya harusi ya Seki iliyofanyika Ifakara Morogoro   Seki na mke wake wakifurahia jambo      MC Edwin Luvanda kulia pamoja na Mpoki kushoto ...
Share:

USIKU WA SEND OFF YA DORIS NDAWI UKUMBI WA MATTI IGURUS MBEYA

 MC EDWIN LUVANDA AKIWA MAKINI KATIKA KUSHEREHESHA SHUGHULI HII   PICHA YA MAHARUSI WATARAJIWA Bi harusi mtarajiwa akiwa na mpambe wake ambaye ni kaka yake ...
Share:

MATUKIO MAPYA


Recent Posts Widget

MAKTABA YETU

BLOGS RAFIKI

Powered by Blogger.